Yeah With best rnb singer Kumbe wanichora Ni king Jo Yeah Siri me na we ni lazima iwe serious Show ni me na we na sioni ulazima ulete shazi Soo ni ni me na we na sioni kama uongo ni kazi Usione kama urafiki ni vyeti upate kazi Sioni rafiki wa mbuzi eti keti mkune nazi Urafiki mkia wa mbuzi mfupi na nyeti wazi Nakushangaa u baniani mhaya We na baniani mbaya Waubani vipi haya Yachumbani yakimwagika hadharani ujue ni haya Haya wanashika nini washkaji washika mabaya Yanawika jogoo hajawika alfajiri Washayaanika kariakoo Hawakai maneno yamewakalia koo Kumbe nao wanataka kunikalia oooh Makaa kwa nyumbani yangu wakiparty no Waka moshi unavuma juu ndani ni pamoto Kumbe unanichora unanichora baby Tena wanisoma na kuniona bwege Kumbe unanichora unanichora baby Tena wanisoma na kuniona bwege Mama baba yereeeeee Mama baba yereeeee Utulie home nakupa vitamu Usinitenge nazi kama embe la msimu Utulie home nakupa vitamu Na me nikulinde nizidi pata utamu Najuaa hawapendi kuona uko na me Na wanasema mengi mradi uniache mimi Hasa kwanini mpenzi unakana Wao Hawapendi kuona uko na me Na wanasema mengi mradi uniache mimi Sasa kwanini mpenzi unaongea naoo Wao Hawapendi kuona uko na me Na wanasema mengi mradi uniache mimi Sasa kwanini mpenzi unaongea naoo Kumbe unanichora unanichora baby Tena wanisoma kuniona na bwege Kumbe unanichora unanichora baby Tena wanisoma kuniona na bwege Kumbe unanichora unanichora baby Tena wanisoma kuniona na bwege Kumbe unanichora unanichora baby Tena wanisoma kuniona na bwege Kumbe unanichora unanichora baby Tena wanisoma kuniona na bwege Yele zele zele. Yele zele zele Yele yele zele Zele zele zele