Mmmhh Aliye, Aliye, Aliye, Aliye! Akilenga message zako, we niite Akikosa kujibu simu, we niite Ukiona ameanza maringo, we niite Baby I'm here for you! Akizima simu usiku, we niite Akienda out bila wewe, we niite Akianza kulewa sana, we niite Baby I'm here for you! Maneno yake yakianza kubadilika Simu yake kila wakati akificha Ashageuka mwizi wa kumulikwa Baby I'm here for you! Ikiwa hana rinda na anaringa Usibembeleze Wachana na hiyo jinga Geuza kitu ex Ikiwa hana rinda na anaringa Usibembeleze Wachana na hiyo jinga Geuza kitu ex Usiogope, I got you! Ukichoka kufuga nyoka, we niite Ukitaka kumtoroka, we niite Usingoje machozi kutoka we niite Baby I'm here for you Nimehitimu kuendesha basi we niite Nimeumbwa kama farasi we niite Usirudishe makamasi we niite Baby I'm here for you Na ukikuja usishinde ukibisha Moyo wangu kwako wazi kama dirisha Usiwe na wasiwasi we ingia ni nyumbani Baby I'm here for you Ikiwa hana rinda na anaringa Usibembeleze Wachana na hiyo jinga Geuza kitu ex Ikiwa hana rinda na anaringa Usibembeleze Wachana na hiyo jinga Geuza kitu ex